Na tazama,
mnyama mwingine, wa pili, kama DUBU, naye aliinuliwa upande mmoja, na mifupa
mitatu ya mbavu ilikuwamo kinywani mwake katika meno yake; wakamwambia mnyama
huyo hivi, Inuka, ule nyama tele DANIELI 7:5, Na baada ya zamani zako utainuka ufalme mwingine Mdogo
kuliko wewe; na ufalme mwingine wa tatu wa shaba, utakaoitawala dunia yote
DANIELI 2:39
I.
MNYAMA
-Anawakilisha Ufalme Danieli 7;17
II.
SIFA YA
HUU UTAWALA -Ulikuwa ni ulawala katili sana kwa sababu kosa la mtu mmoja katika
familia moja wanahukumiwa wote kuuawa ndio maana unafananishwa na dubu kwa
ukatili wake
III.
DUDU NA
MADINI YA FEDHA -Yanawakilisha utawala wa
WAMEDI NA WAAJEMI
IV.
UTAWALA
HUU ULINANZA KUTAWALA -Ulimwengu tangu mwaka 538 B.C hadi 331 B.C
V.
WAFALME
WALIOTAWALA HII DOLA -Ni mfalme KORESHI,na DARIO
VI.
MBAVU TATU
KATIKATI YA MENO -Ziliwakilisha majimbo matatu ambayo Wamedi na Waajemi
waliyapiga nayo ni BABELI,LIDIA ,na
MISRI
VII.
IFUATAYO
NI HISTORIA FUPI
Enzi kuu ya pili
ulimwenguni
Ufalme huu ulifananishwa katika sanamu na kifua na mikono ya fedha kama fedha
inavyopungua dhamani yake kuliko dhahabu
kadharika wamedi na waajemi ijapokuwa
walikuwa hodari walipungua katika utajiri na utukufu.
Pia
Dubu ni mfano wa ufalme pia kama
Kifua na Mikono
ya fedha ya sanamu ,yaani Umedi
na Uajemi kuinuka yenyewe upande mmoja inaonyesha ….Wamedi chini ya DARIO walikuwa na uwezo mwingi wa
kabila zote mbili mwanzoni lakini baadaye waajemi chini ya KORESHI walichua utawala
kulikuwa na majimbo matatu yaliyokuwa yameshindwa ambayo
wamedi na waajemi waliwafanyia
ukatili zaidi baada ya kutokea kwao na
kuwa na mamlaka:BABELI,LIDIA,NA MISRI.hayo yalikuwa mfano wa mbavu tatu
katikati ya meno yake hakuna mnyama awezaye
kuwa mkali zaidi kuliko dubu
mwenye kiu ya damu.ukatili ulikuwa unaonekana dhahiri katika tabia ya ufalme wa waajemi.kama tunavyoona katika sura ya
DANIELI 6:24 wake wasiokuwa na hatia na
watoto wa watu walihukumiwa
waliadhibiwa sawa nao pamoja nao.
VIII.
Ndugu mpendwa kumbuka zamani walivyokuwa
wanahesaba miaka
na
mwezi na tarehe kabla ya kiuzaliwa Yesu
walikuwa wanahesabu kurudi nyuma mfano kutoka 2000,1999,600,400,200….lakini
baada ya kuzaliwa Yesu tarehe zikaaza kuhesabiwa kwenda mbele badala ya kurudi
nyuma,mfano 2000,2001,2003,2004…..
JIANDAE
NA SOMO LA TATU LINAHUSU MNYAMA MWENYE VICHWA VINNE AMBAYE NI CHUI
No comments:
Post a Comment